forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
711 B
Markdown
33 lines
711 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu.
|
|
|
|
# huifunga bahari
|
|
|
|
Yahweh anatumia swali hili ili kutia mkazo kwamba aliifanya bahari.
|
|
|
|
# huifunga bahari kwa milango
|
|
|
|
Yahweh analinganisha njia aliyoitumia kuizuia bahari ili isiigharikishe dunia yote na kuishikilia bahari kwa nyuma.
|
|
|
|
# kana kwamba inatoka katika tumbo
|
|
|
|
Yahweh analinganisha uumbaji wake wa bahari na uzazi.
|
|
|
|
# mavazi yake
|
|
|
|
kama nguo kwa ajili ya bahari
|
|
|
|
# giza nene
|
|
|
|
:mawingu meusi sana"
|
|
|
|
# na giza nene kuwa mkanda wake wa kujifungia
|
|
|
|
"na kufunga katika mawingu mazito Kama mkanda wa kujifungia"
|
|
|
|
# mkanda wake wa kujifungia
|
|
|
|
Hiki ni kipande cha nguo ambacho watu walikitumia kuwafunga watoto wachanga baada ya kuzaliwa.
|
|
|