forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
676 B
Markdown
21 lines
676 B
Markdown
# Habari za Jumla:
|
|
|
|
Mwandishi anaendelea kutumia ulinganishaji katika mistari miwili ya kwanza, kuwasilisha wazo moja akitumia taarifa mbili tofauti kuelezea maumivu makali sana ya Ayubu.
|
|
|
|
# kitanda changu kitanifariji, na malazi yangu yatatuliza manung'uniko yangu
|
|
|
|
Hapa "kitanda" na "malazi" ni mifano wa "kulala." Kwa kulala chini, Ayubu alitarajia faraja. Mfano pia una sifa za kibinadamu; wana uwezo wa kumriwadha na kumfariji mtu.
|
|
|
|
# wewe unanitisha mimi
|
|
|
|
"wewe" inamaanisha Mungu ambaye Ayubu anamlalamikia.
|
|
|
|
# kunyonga
|
|
|
|
kuua mtu kwa kumkaba koo lake na kuzuia asipumue.
|
|
|
|
# hii mifupa yangu
|
|
|
|
Hapa Ayubu anatumia neno "mifupa" kumaanisha mwili wake. "Huu mwili wangu"
|
|
|