forked from WA-Catalog/sw_tn
676 B
676 B
Habari za Jumla:
Mwandishi anaendelea kutumia ulinganishaji katika mistari miwili ya kwanza, kuwasilisha wazo moja akitumia taarifa mbili tofauti kuelezea maumivu makali sana ya Ayubu.
kitanda changu kitanifariji, na malazi yangu yatatuliza manung'uniko yangu
Hapa "kitanda" na "malazi" ni mifano wa "kulala." Kwa kulala chini, Ayubu alitarajia faraja. Mfano pia una sifa za kibinadamu; wana uwezo wa kumriwadha na kumfariji mtu.
wewe unanitisha mimi
"wewe" inamaanisha Mungu ambaye Ayubu anamlalamikia.
kunyonga
kuua mtu kwa kumkaba koo lake na kuzuia asipumue.
hii mifupa yangu
Hapa Ayubu anatumia neno "mifupa" kumaanisha mwili wake. "Huu mwili wangu"