sw_tq/1co/15/24.md

323 B

Nini kitatokea mwishoni?

Kristo atakabidhi ufalme wa mbinguni kwa Mungu Baba, pale atakapo komesha utawala zote na mamlaka na nguvu.

Kristo atatawala kwa muda gani?

Ni lazima atawale ampaka atakapowaweka chini ya miguu yake maadui wake wote.

Adui wa mwisho kuharibiwa ni nani?

Adui wa mwisho kuharibiwa ni kifo