sw_tq/1sa/13/17.md

5 lines
167 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:39:41 +00:00
# Ni mbinu gani Wafilisti waliitumia dhidi ya wana wa Israeli?
Wafilisti walituma wateka nyara toka kwenye kambi zao kwenda kwenye maeneo tofauti matatu ya Israeli.