Questions for OT books

This commit is contained in:
Larry Versaw 2019-05-21 14:39:41 -06:00
parent cf5a21e456
commit 4b253a3b01
8092 changed files with 51883 additions and 9 deletions

4
1ch/01/08.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nani alikuwa shujua wa kwanza katika dunia?
Nimrodi, mwana wa Kushi, alikuwa shujaa wa kwanza.

4
1ch/01/17.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwanini mmoja wa wana wa Eberi aliitwa Pelegi?
Katika siku zake, dunia iligawaniyika.

4
1ch/01/43.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nchi gani wafalme kabla wa wafalme walitawala juu ya Waisraeli?
Nchi ya Edomu wafalme kabla Israeli haijawa na wafalme.

4
1ch/02/03.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nini kilimtokea Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda?
Alikuwa muovu machoni pa Yahweh, hivyo Yahweh akamua.

4
1ch/02/05.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Jinsi gani Akari alileta shida Israeli?
Aliiba kilicho hifadhiwa kwa Mungu.

4
1ch/02/13.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nani alikuwa mwana wa saba wa Yese?
Daudi alikuwa mwana wa saba wa Yese.

4
1ch/03/04.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Miaka mingapi Daudi alitawala kama mfalme wa Yerusalemu?
Alitawala kwa miaka thelathini na tatu kama mfalme Yerusalemu.

4
1ch/03/15.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nani alikuwa mfalme wa mwisho wa Waisraeli?
Zedekia alikuwa mfalme wa mwisho wa Israeli.

8
1ch/04/09.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Nini Yabesi alimuomba Mungu wa Israeli?
Aliomba Mungu ambariki, apanue mipaka yake, amlinde na alisiweze kuvumilia maumivu.
# Maombi ya Yabesi yalijibiwa?
Ndio, Mungu alimjibu maombi yake.

4
1ch/04/27.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwa nini ukoo wa Shimei na kaka zake hawaku ongezeka sana kwa idadi na watu wa Yuda waliongezeka?
Kaka zake hawakuwa na watoto wengi.

4
1ch/04/39.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwanini baadhi ya wana wa Shimei walienda Gedori upande wa mashariki wa bonde?
Walikuwa wana tafuta majani ya mifugo yao, na wakapa mengi na mazuri.

8
1ch/05/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Kwanini haki ya mzaliwa wa kwanza ya Rubeni alipewa Yusufu?
Haki ya mzaliwa wa kwanza alipewa Yusufu, mwana wa Israeli, kwasababu Rubeni alinajisi kitanda cha baba yake
# Kwa mtoto yupi wa Israeli kiongozi atatoka?
Kiongozi atatoka kwa Yuda.

4
1ch/05/04.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nini kilimtokea Bera, mwana wa Baali?
Waasiria walimchukuwa matekani.

4
1ch/05/18.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Wanajeshi wa ngapi wenye mafunzo Warubeni, Wagadi, na nusu kabila la Manase walikuwa nao?
Walikuwa na wanajeshi elfu arobaini na nne wenye mafunzo ya vita, waliyo beba silaha, na waliyo vuta upinde.

8
1ch/05/20.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Kwanini Waagri walishindwa?
Walishinwa kwasababu Waisraeli walimlia Mungu na kumuamini, na Mungu akawajibu.
# Waisraeli waliishi kwa muda gani katika nchi waliyo chukuwa kutoka kwa Waagri?
Waliishi hapo hadi mateka yao?

4
1ch/05/23.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kabila nusu la Manase liliishi wapi na familia zao?
Waliishi katika nchi ya Bashani.

4
1ch/05/25.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwasababu Warubeni, Wagadi, na nusu kabila la Manase hawakuwa waaminifu kwa Mungu nini alichowafanyia?
Mungu alimuamsha mfalme wa Asiria na haya makabila yalipelekwa matekani na Asiria.

4
1ch/06/13.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwa nani Yahweh aliwapeleka matekani Yuda na Yerusalemu?
Aliwapeleka Yuda na Yerusalemu kwa Nebukadneza mfalme wa Babilonia.

8
1ch/06/31.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Kazi zipi zilikuwa za wanaume Daudi aliyo waweka wahusika wa muziki?
Walikuwa watumike kwa kuimba kataka hema la kukutania.
# Nani alijenga nyumba ya Yahweh Yerusalemu?
Sulemani alijenga nyumba ya Yahweh.

4
1ch/06/48.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Ni kabila gani la Waisraeli walipangiwa kufanya kazi katika hema la kukutania?
Walawi ndio walipangiwa kufanya hii kazi.

8
1ch/06/49.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Ni sadaka zipi za maombolezo Aruni na wana wake waliwajibika nayo?
Walikuwa na wajibu wa sadaka kwenye madhabahu sadaka za kuteketeza na katika madhabahu ya uvumba.
# Sadaka hizi zilikuwa kwa ajili ya nini?
Sadaka hizi zilikuwa za kufanya maombezi kwa ajili ya dhambi za Waisraeli

4
1ch/06/63.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Walawi walikuwa wanaishi wapi kwa sababu hawakupewa ardhi maalumu kama makabila mengine?
Walawi walipangiwa miji kwa kura pamoja na malisho yao kutoka makabila ya Yuda, Simeoni, na Benjamini.

4
1ch/07/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Ni wanaume wa aina gani walikuwa wana wa Tola?
Walikuwa wenye nguvu, wanaume wajasiri.

4
1ch/07/04.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Ni idadi gani ya wanaume wa vita kutoka kabila la Isakari?
Kabila la Isakari walikuwa na wanaume wa vita 87,000.

4
1ch/07/06.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwa yapi wana wa Bela walijulikana?
Wana wa Bela walijulikana kama maaskari na waanzilishi wa ukoo.

4
1ch/07/14.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nani alimzalia Manase mtoto wa kiume aliyeitwa Asrieli?
Suria wa Kiarami wa Manase ndiye aliyemzalia mtoto wa kiume aliyeitwa Asrieli.

4
1ch/07/20.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwanini Efraimu alihitaji faraja kutoka kwa kaka yake wakati alipokuwa anaomboleza kwa siku nyingi?
Efraimu alihitaji faraja kutoka kwa kaka zake kwasababu wana wake Eza na Eleadi waliuwawa na wanaume wa gathi walipoenda kuiba mifugo yao.

4
1ch/07/23.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwanini Efraimu alimuita mwana wake Beria?
Efraimu alimuita mwana wake Beria kwasababu ya maafa yaliyotokea kwenye familia yake.

4
1ch/07/25.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nani alikuwa mwana wa Nuni?
Yoshua alikuwa mwana wa Nuni.

4
1ch/07/28.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Wapi zilikuwa mali na makazi ya Yoshua na familia yake?
Mali zao na makazi zilikuwa ndani ya Betheli na vijiji vilivyoizunguka.

4
1ch/07/39.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Ni sifa zipi walizokuwa nazo uzao wa Asheri?
Uzao wa Asheri walikuwa waanzilishi wa koo, viongozi wa familia zao, wanaume wa kipekee, wanaume wa vita, na watemi kati ya viongozi.

4
1ch/08/06.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Wazao wa Ehudi walisukumwa kufanyaje?
Uzao wa Ehudi walisukumwa kuhamia Manahathi.

4
1ch/08/12.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Wana wa Elipaali walimfukuza nani?
Wana wake waliwafukuza wenyeji wa Gathi.

4
1ch/08/26.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Wana wa Yerohamu waliishi wapi?
Waliishi Yerusalemu.

8
1ch/08/32.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Mikloti na familia yake waliishi wapi?
Mikloti na familia yake waliishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
# Nani alikuwa baba waSauli?
Kishi alikuwa baba wa Sauli.

4
1ch/08/38.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Wana wa Ulamu, waliokuwa uzao wa Benjamini, walijulikana kwa lipi?
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa vita na wapiga mishale.

12
1ch/09/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,12 @@
# Wapi nakala za uzao wa Israeli ziliandikwa?
Nakala za ziliandikwa katika Kitabu cha Walfalme wa Israeli.
# Kwanini Yuda ilipelekwa matekani na Babilonia?
Yuda ilipelekwa matekani kwasababu ya dhambi zao.
# Watu gani walikuwa wa kwanza kurudi katika miji yao?
Wakwanza kurudi kuishi katika miiji yao walikuwa Waisraeli, Makuhani, Walawi, na Watumishi wa hekalu.

4
1ch/09/10.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwa lipi Azaria alijulikana?
Azaria alikuwa na mamlaka katika nyumba ya Mungu.

4
1ch/09/12.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwa yapi ndugu wa Adaia na Maasai walijulikani?
Walikuwa ni wanaume wenye uwezo sana wa kufanya kazi katika nyumba ya Mungu.

8
1ch/09/17.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Ni majukuma gani yaliyo pita ambao walinzi wa lango walitekeleza?
Awali walisimama kulinda katika geti la mfalme upande wa mashariki wa kambi ya uzao wa Walawi.
# Nini lilikuwa jukumu la Wakora?
Wakora walikuwa walinzi juu ya kazi ya hekalu na juu mwingilio wa hema Yahweh alipo ishi.

4
1ch/09/20.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Lipi lilikuwa jukumu la Zekaria, mwana wa Meshelemia?
Zekaria alikuwa mlinzi kwenye mwingilio wa Hekalu, "hekalu la kuingilia"

4
1ch/09/22.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nini walinzi wa lango na watoto wao, ambao Daudi na Samweli waliwaeka katika nafasi zao, walifanya?
Walinzi wa lango na watotot wao walilinda mageti katika nyumba ya Yawehi, hema la kuabudia.

4
1ch/09/25.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwa namna gani viongozi wa nne wa walinzi wa lango walitekeleza kazi waliyo pangiwa kulinda chumba na vyumba vya kuhifadhia katika nyumba ya Mungu
viongozi wanne wa walinzi walitumia usiku wao sehemu walizowekwa kuzunguka nyumba ya Mungu na walifungua geti kila asubuhi.

4
1ch/09/28.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kazi zipi maalumu Walawi walipangiwa kufanya?
Baadhi yao waliwajibika katika hekalu la vifaa na baadhi yao pia waliwekwa kutunza vitu vitakatifu, vifaa, na vitu , kujuisha unga safi, mvinyo, mafuta, manukato, na uvumba.

4
1ch/09/30.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Upi ulikuwa waajibu wa Wakora?
Wakora waliwajibika kwa mikate ya uwepo, kuandaa kila Sabatho.

4
1ch/09/33.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwanini waimbaji na familia za viongozi wa Walawi waliishi katika vyumba vya pahali pa takatifu walipo kuwa hawafanyi kazi?
Waimbaji na viongozi wa familia ya Walawi waliishi ndani ya vyumba katika mahali takatifu walipo kuwa hawafanyi kazi, kwa sababu wapiswa kufanya kazi walio pangiwa usiku na mchana.

4
1ch/10/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nini kiliwatokea wana wa Sauli Mlima Giliboa?
Wafilisti waliwakimbiza Sauli na wanae na kuwaua.

8
1ch/10/04.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Kwanini Sauli alimtaka mbeba ngao amchome kwa upanga wake?
Sauli alimtaka mbeba ngao amchome kwa upanga wake ili wasio tahiriwa wasije kumtesa.
# Nini Sauli alikifanya mbeba ngao wake alipo kataa kumchoma?
Sauli alichukuwa upanga wake na kuuangukia.

4
1ch/10/05.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Mbeba ngao wa Sauli alivyo alifanya nini baada ya kuona Sauli kafa?
5Mbeba ngao alivyoona kuwa Sauli amekufa, naye akaangukia upanga wake na kufa.

4
1ch/10/07.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nini wanaume Waisraeli walifanya baada ya kuona jeshi limekimbia na Sauli na wanae wamekufa?
Walitelekeza miji yao na kukimbia. Kisha Wafilisti wakaja na kuishi humo

4
1ch/10/09.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nini Wafilisti walifanya mwili wa Sauli?
Wafilisti wakamvua nguo zote na ngao yake wakaeka ndani ya hekalu la miungu yao, na kichwa chake waka kining'iniza katika hekalu la Dagoni.

4
1ch/10/11.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nini wapiganaji wa Yabeshhi Gileadi walifanya miili ya Sauli na wanae?
Walichukuwa mwili wa Sauli na hiyo ya wanae, na kuirejesha Yabeshi na kuizika mifupa yao chini ya mti .

4
1ch/10/13.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwanini Sauli alikufa?
Sauli alikufa kwasababi hakuwa mwaminifu kwa Yahweh. Hakutii maelekezo ya Yahweh, lakini akauliza ushauri kwa mtu anaye ongea na wafu.

4
1ch/11/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwanini Israeli yote ilikuwa tayari kumpaka mafuta Daudi awe mfalme juu ya Israeli?
Daudi alikuwa nyama na mifupa yako, aliongoza jeshi la Israeli, na Yahweh kupitia Samweli alimtangaza Daudi kuwa ata tawala Israeli.

4
1ch/11/04.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Yoabu alikuwaje mkuu wa jeshi la Israeli?
Daudi alisema, yeyote atakaye washambulia Wayebusi wa kwanza atakuwa mkuu wa jeshi kwaiyo Yoabu akashambulia wa kwanza.

4
1ch/11/07.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwanini Daudi alikuwa mkubwa na mkubwa baada ya kuanza kuishi mji wa Daudi?
Daudi alikuwa mkubwa na mkubwa Yahweh wa Majeshi alikuwa naye.

4
1ch/11/10.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwa lipi Yashobeami alijulikana?
Aliwaua wanaume mia tatu na mkuki wake katika sehemu moja.

4
1ch/11/12.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nini ilikuwa sifa ya Eleazari Mahohi?
Baada ya jeshi la Waisraeli kukimbia, Eleazari Mahohi alisimama sehemu yake katikati ya shamba la ngano na kuwakata chini Wafilisti.

4
1ch/11/15.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Ombi gani Daudi alilifanya?
Daudi alitaka maji ya kunywa kutoka kisima kilicho Bethilehemu.

8
1ch/11/18.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Nini wanaume hodari wa Daudi walicho kifanya kutimiza ombi lake?
anaume hodari watatu wakatoboa kupita jeshi la Wafilisti na kuchota maji kwenye kisima cha Bethilehemu, wakachukuwa maji na kumletea Daudi.
# Kwanini Daudi alikataa kunywa kutoka kisima cha Bethilehemu wakati wanaume wake hodari walihatarisha maisha yao kuyapata?
Daudi alikataa kunywa maji kwasababu wameeka maisha ya hatarini kuyapata.

4
1ch/11/20.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Ipi ilikuwa sifa ya Abishai, kaka yake Yoabu?
Abishai alikuwa kiongozi wa wanaume wa tatu na mara moja aliwai kuua mia tatu kwa mkuki wake.

4
1ch/11/22.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Ipi ilikuwa sifa ya Benaia, mwana wa Yehoiada?
Benaia alikuwa mwanaume mwenye nguvu aliyewai chini ya shimo kumuua simba wakati theluji ikianguka, alimuua Mmisri mkubwa kukamata mkuki wake.

4
1ch/11/24.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Jukumu gani Daudi alimpa Benaia?
Benaia alisifika sana kwa Daudi, alimueka kiongozi wa walinzi wake.

4
1ch/11/26.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Yupi mwanaume hodari alikuwa kaka yake Yoabu?
Asaheli alikuwa mwanaume hodari aliye kuwa kaka yake Yoabu.

4
1ch/12/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Ni kipawa gani maalumu wanaume hodari walio mjia Daudi wakati akiwa amefukuzwa uweponi mwa Sauli walikuwa nacho?
Wanaume hodari walikuwa Wabenjamini waliweza kutumia mkono wa kuume na wakushoto kurusha mawe na manati na kupiga mishale kutoka kwenye upinde.

4
1ch/12/08.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Ni vipaji gani vya kipekee walikuwa navyo Wagadi walio jiunga na Daudi katika ngome huko nyikani.
Wagadi walikuwa wanaume wapiganaji, waliofundishwa kwa mapambano, walioweza kumudu ngao na mkuki; ambao nyuso zao zilikuwa kali kama za simba. Walikuwa wepesi kwenye milima kama swala.

4
1ch/12/14.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Ni nini wana wa Gadi walitimiza katika nchi walioyo pewa Waisraeli?
Wana wa Gadi hawaku katisha Yordani wakati vijito vyake vilipofurika tu, lakini pia waliwa fukuza wote wanaoishi katika mabonde.

4
1ch/12/16.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Onyo gani Daudi aliwapa wanaume wa Benjamini na Yuda walipo kuja kwenye ngome yake?
Daudi aliwaambia kama wamekuja kwa amani kumsaidia, mnaweza kujiunga naye, lakini kama wakuja kumsaliti kwa maadui wake, kisha ata mwambia Mungu awakemee maana hajafanya kosa lolote.

4
1ch/12/18.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nini lilikuwa jibu la Amasai kwa onyo la Dauid?
Amasai alimwambia Daudi kwamba sisi sote tupo upande wake na tunataka amani kwa yeyote atakaye msaidia Daudi kwasababu Mungu anamsaidia.

4
1ch/12/19.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwanini Wafilisti walimuondoa Daudi wakati Daudi alikuja kwa Wafilisti ili kupigana kwenye pambano dhidi ya Sauli?
Wafilisti wali hofu kuwa atamwendea Sauli na kuhatarisha maisha yao.

4
1ch/12/21.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Jinsi gani wanaume wa Manase ambao baada walikuwa wakuu katika jeshi la Daudi msaidia?
Walimsaidia Daudi kupigana na kikundi cha wezi.

4
1ch/12/23.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwanini wanajeshi wenye silaha wa vita wote walikuja kwa Daudi huko Hebroni?
Walikuja kwa Daudi Hebroni kumsaidia kuchukuwa ufalme wa Sauli ambalo lilikuwa timizo ya neno la Yahweh.

4
1ch/12/26.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwa lipi Zadoki alijulikana?
Zadoki alikuwa kijana, wenye nguve, na mjasiri.

4
1ch/12/32.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kwa lipi viongozi mia mbili wa Isakari walijulikana?
Walikuwa na ufahamu wa nyakati na walijua nini Israeli ili paswa kufanya.

8
1ch/12/38.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Kwanini wanajeshi wote walikuja Hebroni?
Walikuja Hebroni kwa dhumuni madhubuti la kumfanya Daudi mfalme wa Israeli.
# Wapi wanajeshi wa Israeli walipata chakula cha kutosha na kinywaji kuweza kula na kunywa kwa siku tatu kusherehekea Daudi kuwa mfalme?
Ndugu wa wanajeshi wa Israeli walituma maitaji yote kwao.

8
1ch/13/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Nani Daudi alimfuata kabla ya kuzungumza na kusanyiko lote la Israeli?
Alishauriana na wakuu na viongozi wote wa Israeli.
# Kwanini kusanyiko lilikubaliana na Daudi, kutuma wajumbe kila sehemu Israeli na kujiunga na Daudi kuleta sanduku la Mungu Israeli?
Kusanyiko lote liliafiki kufanya haya yote, kwa kuwa yalionekana sawa machoni pa watu wote.

4
1ch/13/07.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nini daudi na Israeli yote ilifanya walipo leta sanduku kutoka nyumbani mwa Abinadabu?
Daudi na Israeli yote walikuwa wakishangilia mbele za Mungu kwa nguvu zao zote.

8
1ch/13/09.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Nini Yahweh alifanya pale Uza alipo nyoosha mkono wake kuzuia sanduku ng'ombe alipo yumba?
Hasira ya Yahweh ikawaka juu ya Uza na Yahweh akamua.
# Kwanini Daudi alikuwa na hasira na Yahweh?
Daudi alipatwa na hasira kwa kuwa Yahweh alimshambulia Uza.

8
1ch/13/12.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Wapi Daudi alipo eka sanduku la Mungu wakati alipo kuwa na hofu na Mungu?
Daudi aliweka sanduku la Mungu kwenye nyumba ya Obedi Edomu Mgiti.
# Nini Yahweh alicho fanya kwa nyumba ya Obedi Edomu?
Yahweh akabariki nyumba yake na yote aliyo miliki.

4
1ch/14/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nini Daudi alijua kwa uhakika Hiramu, mfalme wa Tire alipo tuma wajumbe, miti ya mierezi, seramala, wa jenzi kujenga nyumba ya Daudi?
Daudi alijua kuwa Yahweh alimfanya kuwa mfalme juu ya Waisraeli.

4
1ch/14/03.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nini lilikuwa tokea Daudi alipo chukuwa wake zaidi Yerusalemu?
Daudi alikuwa baba wa wana na mabinti zaidi.

4
1ch/14/08.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Daudi alifanya nini alivyo sikia Wafilisti wanamtafuta?
Alienda njee dhidi yao.

8
1ch/14/10.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Nini Yahweh alilmjibu Daudi alipo muuliza kama awashambulie Wafilisti?
Yahweh alimwambia Daudi shambulia kwa maana ata wakabidhi kwa Daudi.
# Daudi aliagiza nini kifanyike kwa miungu Wafilisti waliyo itelekeza?
Daudi akatoa amri wateketezwe kwa moto.

4
1ch/14/13.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kutoka wapi Mungu alimwambia Daudi awashambulie Wafilisti walipo vamia bonde tena?
Mungu akamwambia Daudi lakini wazunguke kwa nyuma yao na uwajie kupitia misitu.

8
1ch/14/15.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Nini Daudi paswa kusikia kabla ya kushambulia Wafilisti kwa nguvu?
Daudi alipaswa kusikia sauti ya wanajeshi wanatembea kwenye upepo uvumao kutoka juu ya miti.
# Nini Yahweh alisababisha mataifa yote ya fanye umarufu wake ulipo enda nchi zote?
Yahweh akasababisha mataifa yote kumuhofia.

8
1ch/15/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Nani Daudi alisema ndio watu pekee Yahweh aliyo wachagua kubeba sandaku?
Walawi pekee ndio watabeba sanduku la Mungu.
# Kwa dhumuni gani Daudi alikusanya Israeli yote Yerusalemu
Daudi alikusanya wote Walawi pekee ndio watabeba sanduku la Mungu.

4
1ch/15/04.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nani Daudi alikusanya pamoja kuleta sanduku?
Daudi akakusanya uzao wa Aruni na Walawi pamoja.

4
1ch/15/11.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Ni nini viongozi wa familia za Walawi walipaswa kufanya na kaka zao ili waeze kuleta sanduku la Yahweh sehemu Daudi aliyo iandaa?
Walipaswa kujiweka wakfu ilikwamba walete sanduku la Yahweh.

8
1ch/15/13.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Kwanini makuhani na Walawi walijiweka wakfu?
Walijiweka wakfu iliwaweze kuleta sanduku la Yahweh, Mungu wa Israeli.
# Kutoka kwa nani Musa alipata amri za kubeba sanduku kwenye mabega ya Walawi na miti yake?
Amri za kubeba sanduku zilitolewa na neno la Yahweh.

4
1ch/15/16.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nani ambaye Daudi alimpa jukumu la kusajili wana muziki?
Daudi alitoa jukumu la kusajili wana muziki kwa viongozi wa Walawi.

4
1ch/15/25.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nani aliwasaidia Walawi waliyo beba sanduku la agano la Yahweh?
Mungu aliwasaidia Walawi waliyobeba sanduku.

8
1ch/15/27.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Daudi alivishwa nini na alikuwa na nini juu yake?
Daudi alivishwa na joho safi na alikuwa amevaa naivera.
# Nani alileta sanduku kwa furaha za kelele, na sauti za tarumbeta, kwa upatu na vyombo vya uzi na vinubi.
Israeli yote iliyo ilileta sanduku.

4
1ch/15/29.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nini Mikali alimuona Daudi akifanya kilicho msababisha amdharau moyoni mwake.
Mikali alimuona Mfalme Daudi akicheza na kusherehekea.

8
1ch/16/01.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Nini Waisraeli walimtolea Mungu baada ya sanduku kuwekwa katikati ya hema ambalo Daudi aliliweka?
Kisha wakatoa sadaka ya kuteketeza na sadaka ya ushirika
# Nini Daudi alicho zambaza kwa kila Misraeli alipo maliza kuwabariki watu katika jina la Yahweh?
Alisambaza kwa kila mmoja kipande cha mkate, na kipande cha nyama, na keki ya mzabibu.

4
1ch/16/04.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Nini Walawi walipangiwa kufanya walipo tumikia mbele za sanduku?
Walawi walipangiwa kusheherekea, kushukuru na kumsifu Yahweh, Mungu wa Israeli walipo tumika mbele za sanduku la Yahweh.

8
1ch/16/07.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Nini Asafu na kaka zake walipangiwa kufanya?
Walipangiwa kuimba nyimbo ya shukurani kwa Yahweh.
# Nini watu walikuwa wazungumzie kuhusu kwenye nyimbo Asafu na kaka zake waliimba?
Walikuwa wazungumzie kuhusu matendo yote ya ajabu ya Yahweh.

4
1ch/16/10.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Watu walikuwa wajisifu kuhusu nini na kutafuta?
Watu walikuwa wajisifu kuhusu Yahweh na kumtafute.

4
1ch/16/12.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Kuhusu nini wazao wa Israeli, wateule wa Yahweh, wana paswa kukumbuka kuhusu Yahweh Mungu wao?
Wanapaswa kukumbuka matendo makuu aliyo fanya, miujiza yake na amri zake kutoka kinywa chake.

8
1ch/16/15.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,8 @@
# Nini Yahweh alichofanya na Ibrahimu ambacho Waisraeli wapaswa kuweka akilini milele?
Alifanya agano na Ibrahimu , na Waisraeli wana paswa kuweka agano la Yahweh akillini mwao milele.
# Nini Yahweh aliaidi kuwapa watu wake kama urithi wao?
Yahweh aliahidi kuwapa nchi ya Kanani.

4
1ch/16/19.md Normal file
View File

@ -0,0 +1,4 @@
# Yahweh alilindaje Israeli walipo kuwa wachache kiidadi na walipo kuwa wanaenda ufalme mmoja hadi mwingine?
Hakuwaruhusu yeyote awatese.

Some files were not shown because too many files have changed in this diff Show More