32 lines
976 B
Markdown
32 lines
976 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "kwako" na "wako" hapa ni katika umoja.
|
|
|
|
# haupaswi kukawia kuikamilisha
|
|
|
|
"hautakiwi kutumia muda mrefu kukamilisha kiapo hiki"
|
|
|
|
# maana Yahwe Mungu wako hakika atadai kiapo hicho
|
|
|
|
"kwa sababu Yahwe Mungu wako atakulaumu na kukuadhibu iwapo hautakamilisha kiapo chako"
|
|
|
|
# Lakini iwapo utajizuia kutoa kiapo, haitakuwa dhambi kwako
|
|
|
|
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "Lakini, kama hautatoa kiapo, hautakuwa umetenda dhambi kwa sababu hautakuwa na kiapo cha kutimiza"
|
|
|
|
# Kile ambacho kimetoka kinywani mwako
|
|
|
|
Hii ni lahaja. "Maneno uliyozungumza"
|
|
|
|
# kulingana na kiapo ulichotamka kwa Yahwe Mungu wako
|
|
|
|
"chochote ulichoapa kwa Yahwe Mungu wako ambacho utafanya"
|
|
|
|
# chochote ulichotamka kwa hiari kwa kinywa chako
|
|
|
|
"chochote ambacho watu wamesikia ukiahidi kufanya kwa sababu ulitaka kukifanya"
|
|
|
|
# kinywa chako
|
|
|
|
"ili kwamba watu wasikie ukikitamka"
|