699 B
699 B
Maelezo ya jumla
Danieli anaendelea kumwomba Mungu juu ya watu wa Israeli.
Tumetenda dhambi na tumefanya yaliyo mabaya
Virai hivi viwili vinaelezea wazo moja katika njia mbili ili kutia mkazo.
Tumeenenda kwa uovu na tumeasi
Virai hivi viwili vinaelezea wazo moja katika njia mbili ili kutia mkazo.
amri na maagizo yako
Maneno haya "amri na maagizo" yana maana moja na yanarejelea sheria zote kwa ujumla.
Hatujawasikiliza watumishi wako
Mahali hapa "hatujawasikiliza" ina maana kwamba hawakuutii ujumbe wao.
kwa jina lako
Neno "jina" linarejea mamlaka ya Mungu. "kuzungumza kwa mamlaka"
watu wote wa nchi
Mahali hapa neno "nchi" linairejelea Israeli. "watu wa Israeli."