sw_tn/hos/13/03.md

240 B

Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi ... kama umande ... kama makapi ... kama moshi utokao kwenye bomba.

Maelezo haya yanaonesha kuwa Israeli itapotea kama itaendelea kuabudu sanamu.

yanayotokana na upepo

"ambayo upepo unavuma"