sw_tn/hos/04/11.md

568 B

Taarifa ya jumla"

Bwana anazungumza juu ya Israeli.

uasherati, divai, na divai mpya, ambayo imechukua uelewa wao

Watu wa Israeli wanafanya uzinzi nje ya ndoa na wanakunywa sana mvingo. Kwa kufanya hivi wamesahau amri za Bwana.

fimbo zao za kutembelea huwapa unabii

Waabudu sanamu hutumia fimbo za kutembelea ili kutabiri yajayo.

mawazo ya uasherati yamewadanganya

Kuabudu miungu na kulala na wanawake makahaba wa hekaluni inawzfanya watu wa Israeli watamani kuendelea kutenda dhambi dhidi ya Bwana.

yamewadanganya

"kuwashawishi watu kufanya dhambi"