20 lines
568 B
Markdown
20 lines
568 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla"
|
||
|
|
||
|
Bwana anazungumza juu ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# uasherati, divai, na divai mpya, ambayo imechukua uelewa wao
|
||
|
|
||
|
Watu wa Israeli wanafanya uzinzi nje ya ndoa na wanakunywa sana mvingo. Kwa kufanya hivi wamesahau amri za Bwana.
|
||
|
|
||
|
# fimbo zao za kutembelea huwapa unabii
|
||
|
|
||
|
Waabudu sanamu hutumia fimbo za kutembelea ili kutabiri yajayo.
|
||
|
|
||
|
# mawazo ya uasherati yamewadanganya
|
||
|
|
||
|
Kuabudu miungu na kulala na wanawake makahaba wa hekaluni inawzfanya watu wa Israeli watamani kuendelea kutenda dhambi dhidi ya Bwana.
|
||
|
|
||
|
# yamewadanganya
|
||
|
|
||
|
"kuwashawishi watu kufanya dhambi"
|