sw_tn/2sa/04/08.md

293 B

anatafuta maisha yako

usemi unamaanisha "anataka kukuua."

Kama aishivyo Yahwe

Hii ni kati ya nadhiri zenye nguvu Daudi alizoziapa, kama ambavyo Yahwe ni shahidi. Yaani: "Naapa kwa uhai wa Yahwe"

aliyeniuokoa uhai wangu

"Uhai" hapa unarejea kwa Daudi mwenyewe. Yaani "aliyeniokoa"