sw_tn/1ki/07/07.md

362 B

Taarifa kwa ujumla

Mwandishi anaandika juu ya ukumbi wa ikulu

Sulemani akaijengabaraza yenye kiti cha enzi

"Sulemani alijenga nyumba iliyoitwa "nyumba ya kiti cha mfalme"

ilikuwa imeezekwa kwa mierezi

"wafanyakazi waliizeka ile nyumba kwa mierezi"

kutoka sakafu moja hadi nyingine

sakafu yote ilikuwa ya mierezi, kutoka ukuta mmoja hadi mwingine.