sw_tn/psa/076/006.md

12 lines
280 B
Markdown

# Kwa kukemea kwako
"Ulipowakemea"
# walisinzia
"walikufa" au "walianguka chini na kufa"
# nani anaweza kusimama mbele ya macho yako unapokuwa na hasira?
"Hakuna mtu anayeweza kusimama machoni pako unapokuwa na hasira" au "Unaweza kumwangamiza yeyote ambaye una hasira naye"