sw_tn/num/25/04.md

12 lines
294 B
Markdown

# viongozi wote wa watu
"viongozi wote wa watu ambao wana hatia ya kuabudu sanamu"
# ili waonekane wakati wa mchana
Viongozi wa Waisraeli watawaua watu hawa na kuacha maiti zao nje ili watu wote wawaone
# Viongozi wa Israeli
"Kwa viongozi wa Israeli wasiokuwa na hatia ya kuabudu sanamu"