forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
294 B
Markdown
12 lines
294 B
Markdown
# viongozi wote wa watu
|
|
|
|
"viongozi wote wa watu ambao wana hatia ya kuabudu sanamu"
|
|
|
|
# ili waonekane wakati wa mchana
|
|
|
|
Viongozi wa Waisraeli watawaua watu hawa na kuacha maiti zao nje ili watu wote wawaone
|
|
|
|
# Viongozi wa Israeli
|
|
|
|
"Kwa viongozi wa Israeli wasiokuwa na hatia ya kuabudu sanamu"
|