forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
310 B
Markdown
12 lines
310 B
Markdown
# kwenye eneo liitwalo fuvu la kichwa
|
|
|
|
Unaweza kutafsiri kama: "kwenye eneo ambalo watu wanaliita fuvu la kichwa"
|
|
|
|
# ambalo kwa Kiebrania huitwa "Golgotha"
|
|
|
|
Kiebrania ni lugha ya Waisraeli
|
|
|
|
# pamoja naye wanaume wawili
|
|
|
|
Unaweza kutafsiri kama: "pia waliwasulibisha wahalifu wengine wawili kwenye misalaba yao"
|