forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
471 B
Markdown
12 lines
471 B
Markdown
# Maelezo kwa Ujumla:
|
|
|
|
Huu ni sehemu nyingine ya simulizi ambayo inamuhusu Yesu na mwanake Msamalia. Mstari huu unatoa habari ya mwanzoni kwa ajili ya sehemu ya simulizi
|
|
|
|
# Basi Yesu alipofahamu
|
|
|
|
Neno "sasa" limetumika hapa kuonyesha kusimama kidogo katika simulizi kuu. Hapa Yohana anaanza kuelezea sehemu mpya ya simulizi.
|
|
|
|
# Yesu mwenyewe hakuwa anabatiza
|
|
|
|
Nomino hii mwenyewe inongeza msisitizo kwmba sio kwamba Yesu mwenyewe alikuwa akibatiza, bali wanafunzi wake.
|