forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
627 B
Markdown
16 lines
627 B
Markdown
# Ndani yake kulikuwa uzima
|
|
|
|
Hapa "uzima"ni mfano kwa kusababisha kila kitu kuishi. A: "Yeye anayeitwa Neno ndiye aliyesababisha kila kitu kuishi.
|
|
|
|
# Uzima
|
|
|
|
hapa tumia neno la jumla kwa "uzima." Kama utatafasiri moja kwa moja unaweza kufasiri kama "uzima wa kiroho".
|
|
|
|
# Uzima huo ulikuwa nuru ya wanadamu wote
|
|
|
|
"Nuru" ni mfano ambao ambao unamaanisha ufunuo wa Mungu.AT: aliifunua kweli kwetu kama vile nuru ifunuavyo kile kilichomo gizani.
|
|
|
|
# NUru yang'ara gizani wala giza halikuliweza
|
|
|
|
Kama vile ambavyo giza lisivyoweza kuizima nuru, watu wabaya hawajaweza kumzuia yeye ambaye ni kama nuru katika kuifunua kweli ya Mung.
|