forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
449 B
Markdown
24 lines
449 B
Markdown
# yaliyo mabaya machoni pa Bwana
|
|
|
|
"machoni pa Bwana" inawakilisha kitu ambacho Bwana anakifikiria au kuwaza juu ya jambo fulani.
|
|
|
|
# akawatia mikononi mwa Wafilisti
|
|
|
|
"mkono" inamaanisha nguvu ya kushinda vitani. "aliruhusu Wafilisti wawashinde"
|
|
|
|
# Miaka arobaini
|
|
|
|
"miaka 40"
|
|
|
|
# Sora
|
|
|
|
Hili lilikuwa jina la mji katika Israeli. Ilikuwa katika mji wa Yuda karibu na mpaka wa Dani.
|
|
|
|
# Wadani
|
|
|
|
Watu wa kabila la Dani.
|
|
|
|
# Manoa
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanaume.
|