forked from WA-Catalog/sw_tn
562 B
562 B
Maelezo ya kuhusisha
Huu ni mwisho wa agizo la mfalme Artashasta alimpa Ezra
kwa hekima aliyokupa Mungu, inakulazimu kuteua waamuzi na mtu muelewa
Jina "hekima" inaweza kuelezwa kwa neno "busara" na "hekima" AT:"Mungu amekupa hekima, hivyo hekima utateua waamuzi na mtu muelewa"
ikiwezekana kwa kifo, kuhamishwa, kuchukuliwa mali zake au kufungwa.
jina linaweza kutafsiriwa kama kitendo. AT:"uenda kwa kuwaua wao,kuwahamisha,kutowesha vitu vyao, au kuwafunga wao" "unaweza kuwaua wao, kuwafukuza wao, kuchukua vitu wanavyomiliki au kuwaweka gerezani"