forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
562 B
Markdown
12 lines
562 B
Markdown
|
# Maelezo ya kuhusisha
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwisho wa agizo la mfalme Artashasta alimpa Ezra
|
||
|
|
||
|
# kwa hekima aliyokupa Mungu, inakulazimu kuteua waamuzi na mtu muelewa
|
||
|
|
||
|
Jina "hekima" inaweza kuelezwa kwa neno "busara" na "hekima" AT:"Mungu amekupa hekima, hivyo hekima utateua waamuzi na mtu muelewa"
|
||
|
|
||
|
# ikiwezekana kwa kifo, kuhamishwa, kuchukuliwa mali zake au kufungwa.
|
||
|
|
||
|
jina linaweza kutafsiriwa kama kitendo. AT:"uenda kwa kuwaua wao,kuwahamisha,kutowesha vitu vyao, au kuwafunga wao" "unaweza kuwaua wao, kuwafukuza wao, kuchukua vitu wanavyomiliki au kuwaweka gerezani"
|