forked from WA-Catalog/sw_tn
391 B
391 B
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
Mafuta kutoka kwa dhabihu
Mafuta yalichomwa kama sadaka kwa Yahweh na hayakuliwa.
matunda ya kwanza bora
"bora na mazao ya kwanza ya mavuno"
Haupaswi kumchemsha mbuzi mtoto akiwa bado ananyonya
Hii ilikuwa zoezi la kishirikina miongoni mwa Wakanani, ambalo Waisraeli hawakuruhusiwa kushiriki.