forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
391 B
Markdown
16 lines
391 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Mafuta kutoka kwa dhabihu
|
||
|
|
||
|
Mafuta yalichomwa kama sadaka kwa Yahweh na hayakuliwa.
|
||
|
|
||
|
# matunda ya kwanza bora
|
||
|
|
||
|
"bora na mazao ya kwanza ya mavuno"
|
||
|
|
||
|
# Haupaswi kumchemsha mbuzi mtoto akiwa bado ananyonya
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa zoezi la kishirikina miongoni mwa Wakanani, ambalo Waisraeli hawakuruhusiwa kushiriki.
|