forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
354 B
Markdown
16 lines
354 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
|
|
|
|
# wana wake wa kiume na mabinti zake
|
|
|
|
Hii ina maana ya watu wa Israeli ambaye Yahwe aliwapa uzima na kuwafanya kuwa taifa.
|
|
|
|
# Nitaficha uso wangu kwao
|
|
|
|
Hii ni lahaja. "Nitageuka kutoka kwao" au "Nitaacha kuwasaidia"
|
|
|
|
# nitaona mwisho wao utakuaje
|
|
|
|
"Nitaona nini kitatokea kwao"
|