forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
444 B
Markdown
16 lines
444 B
Markdown
# lakini hajachumbiwa
|
|
|
|
"lakini ambaye wazazi wake hawajamuahidi mwanamume mwingine ya kuwa ataolewa na yeye"
|
|
|
|
# na kama wakagundulika
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na kama mtu akagundua kilichotokea"
|
|
|
|
# shekeli hamsini za fedha
|
|
|
|
Shekeli ina uzito wa gramu kumi na moja. "vipande hamsini vya fedha" au "gramu 550 za fedha"
|
|
|
|
# Hatakiwi kumfukuza katika siku zake zote
|
|
|
|
Hii ni lahaja. "Hatakiwi kumpa talaka katika maisha yake yote"
|