forked from WA-Catalog/sw_tn
444 B
444 B
lakini hajachumbiwa
"lakini ambaye wazazi wake hawajamuahidi mwanamume mwingine ya kuwa ataolewa na yeye"
na kama wakagundulika
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na kama mtu akagundua kilichotokea"
shekeli hamsini za fedha
Shekeli ina uzito wa gramu kumi na moja. "vipande hamsini vya fedha" au "gramu 550 za fedha"
Hatakiwi kumfukuza katika siku zake zote
Hii ni lahaja. "Hatakiwi kumpa talaka katika maisha yake yote"