forked from WA-Catalog/sw_tn
654 B
654 B
Taarifa unganishi
Hii ni sehemu ya mwisho wa hadithi kuhusu Paulo akiwa huko Athene
na watu wa Athene
Wale watu waliokuwepo pale Areopago wakimsikiliza Paulo
baadhi yao wakamdhihaki Paulo
Wale hawakuamini kuwa inawezekana kwa mtu yeyote kufa na kurudi tena kwenye maisha. "Baadhi walimdharau" au "baadhi walimcheka Paulo"
Sisi tutakusikiliza
"sisi" inarejea watu wa Athene ambao walitaka kumsikiliza Paulo. Waliongea moja kwa moja kwa Paulo lakini si pamoja Paul katika kundi lao."
Dionisio Mwareopago, na Mwanamke anaitwa Damari
Dionysius ni jina la mtu. Areopago ina maana kwamba Dionysius alikuwa mmoja wa majaji katika Areopago.