forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
654 B
Markdown
20 lines
654 B
Markdown
# Taarifa unganishi
|
|
|
|
Hii ni sehemu ya mwisho wa hadithi kuhusu Paulo akiwa huko Athene
|
|
|
|
# na watu wa Athene
|
|
|
|
Wale watu waliokuwepo pale Areopago wakimsikiliza Paulo
|
|
|
|
# baadhi yao wakamdhihaki Paulo
|
|
|
|
Wale hawakuamini kuwa inawezekana kwa mtu yeyote kufa na kurudi tena kwenye maisha. "Baadhi walimdharau" au "baadhi walimcheka Paulo"
|
|
|
|
# Sisi tutakusikiliza
|
|
|
|
"sisi" inarejea watu wa Athene ambao walitaka kumsikiliza Paulo. Waliongea moja kwa moja kwa Paulo lakini si pamoja Paul katika kundi lao."
|
|
|
|
# Dionisio Mwareopago, na Mwanamke anaitwa Damari
|
|
|
|
Dionysius ni jina la mtu. Areopago ina maana kwamba Dionysius alikuwa mmoja wa majaji katika Areopago.
|