Taarifa kwa ujumla
Adoniya anakuja kuongea na Bathisheba
kwa amani
"bila kuwa na kusudio la kusababisha maumivu"
mambo yamebadilika
"Kile kilichokusudiwa kutokea hakikutokea"
ufalme umegeuzwa na umekuwa wa ndugu yangu
"BWANA alimpatia ufalme ndugu yangu" au "ndugu yangu amekuwa mfalme"