forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
787 B
Markdown
24 lines
787 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
lakina angalia kuwa 108:11 haina maneno "Lakini wewe," kama mwanzo wa 60:10.
|
|
|
|
# Mungu, je haujatukataa?
|
|
|
|
Mwandishi wa zaburi anatumia swali hili kuonesha huzuni yake kwamba inaonekana Mungu amewakataa. "Inaonekana kama umetukataa" au "Mungu, unaonekana kututelekeza"
|
|
|
|
# Hauendi vitani na jeshi letu
|
|
|
|
Mwandishi wa zaburi anazungumzia Mungu kulisaidia jeshi lao kana kwamba Mungu alikuwa akienda kupiga pamoja nao. "haulisaidii jeshi letu tunapoenda kupambana"
|
|
|
|
# hauna maana
|
|
|
|
"batili"
|
|
|
|
# tutashinda
|
|
|
|
kuwa na ushindi
|
|
|
|
# atawakanyaga chini adui zetu
|
|
|
|
Mwandishi wa zaburi anamzungumzia Mungu kusaidia jeshi lao kuwashinda maadui kana kwamba Mungu alikuwa wa kuwaganyaga chini maadui." "atatuwezesha kuwakanyaga chin maadui" au "atatufanya tuweze kuwashinda maadui wetu"
|