sw_tn/psa/108/011.md

787 B

Taarifa ya Jumla:

lakina angalia kuwa 108:11 haina maneno "Lakini wewe," kama mwanzo wa 60:10.

Mungu, je haujatukataa?

Mwandishi wa zaburi anatumia swali hili kuonesha huzuni yake kwamba inaonekana Mungu amewakataa. "Inaonekana kama umetukataa" au "Mungu, unaonekana kututelekeza"

Hauendi vitani na jeshi letu

Mwandishi wa zaburi anazungumzia Mungu kulisaidia jeshi lao kana kwamba Mungu alikuwa akienda kupiga pamoja nao. "haulisaidii jeshi letu tunapoenda kupambana"

hauna maana

"batili"

tutashinda

kuwa na ushindi

atawakanyaga chini adui zetu

Mwandishi wa zaburi anamzungumzia Mungu kusaidia jeshi lao kuwashinda maadui kana kwamba Mungu alikuwa wa kuwaganyaga chini maadui." "atatuwezesha kuwakanyaga chin maadui" au "atatufanya tuweze kuwashinda maadui wetu"