sw_tn/1ch/16/34.md

5.1 KiB

Chema, wema

Neno "wema" lina maana tofauti kulingana na muktadha. Lugha nyingi zitatumia maneno tofauti kutafsiri hizi maana tofauti.

  • Kwa ujumla, kitu ni chema kama kinalingana na tabia ya Mungu, kusudi, na mapenzi.
  • Kitu ambacho ni "chema" cha weza pendeza, bora, saidia, kufaa, faidisha, au kubalika kimaadili.
  • Ardhi iliyo "njema" yaweza itwa "rotubisha" au "inayozalisha."
  • Zao "jema" la weza kuwa zao "tele"
  • Mtu anaweza kuwa "mwema" kwa kile anachofanya kama wana ujuzi kwa kazi yao au ajira, kama, "mkulima mwema."
  • Katika Biblia, maana ya jumla ya "jema" mara nyingi utofautishwa na "uovu"
  • Neno "wema" mara kwa mara la husu kuwa na maadili mema au wenye haki katika mawazo na matendo.
  • Wema wa Mungu wa husu jinsi anavyo bariki watu kwa kuwapa vitu vyema na vya faida. Yaweza pia kumaanisha ukamilifu wake wa adili.

uaminifu wa agano, utii wa agano, upendo mwema, upendo usio shindwa

Hili neno la tumika kuelezea kujitolea kwa Mungu kutimiza ahadi alizo ziweka kwa watu.

  • Mungu alifanya ahadi kwa Waisraeli katika makubaliano rasmi yani "maagano"
  • "uaminifu wa agano" au "utii wa agano" la Yahweh ya husu ukweli kwamba Yahweh ana shika ahadi zake kwa watu wake.
  • Uaminifu wa Mungu wa kushika ahadi za agano lake ni muonekano wa neema yake kwa watu wake.
  • Neno "utii" ni neno lingine linalo husu kuwa muhusika na kutegemewa kufanya na kusema yale yaliyo ahidiwa na kumsaidia mtu mwengine.

dumu, kudumu

Neno "dumu" la maanisha kubaki kwa kipindi kirefu au kuvumili kitu kigumu kwa subira.

  • Lina maana pia ya kusimama imara kipindi majaribu yanapo kuja, bila kukata tamaa.
  • Neno "kudumu" la weza maanisha "subira" "kustahimili mapito" au "kuvumilia wakati wa dhiki"
  • Faraja ya kwa Wakristo "kudumu ata mwisho" ya waeleza wa mtii Yesu, ata kama hili litawa sababisha wateseke.
  • Ku "vumilia mateso" ya weza maanisha pia "kupitia mateso"

milele

Kwenye Biblia, neno "milele" la eleza muda usio kwisha. Wakati mwengine la tumika kifumbo kumaanisha, "muda mrefu sana"

  • Neno "milelel na milele" la tilia mkazo kwamba kitu kita kuwepo tu.
  • Maneno "milele na milele" ni namna ya kueleza umilele au uzima wa milele ni nini. Pia lina wazo la muda usio kwisha.
  • Mungu alisema kuwa kiti cha Daudi kitadumu "milele". Hili linahusu ukweli kwamba mzao wa Daudi Yesu ata tawala kama mfalme hadi mwisho.

Mungu

Katika Biblia, neno "Mungu" la husu kiumbe wa milele aliye umba ulimwengu bila chochote. Mungu yupo kama Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. Jina la Mungu la binafsi ni "Yahweh"

  • Mungu amekuwepo daima; amekuwepo kabla ya chochote kuwepo, na ataendelea kuwepo milele.
  • Yeye ndie Mungu pekee wa kweli na ana mamlaka juu kila kitu katika ulimwengu.
  • Mungu ni mwenye haki kamilifu, wa hekima isiyo na mwisho, mtakatifu, wa haki, wa rehema, na wa upendo.
  • Yeye ni Mungu mtunza agano, anaye timiza maagano yake.
  • Watu waliumbwa wamuabudu Mungu na ni yeye tu wamuabudu.
  • Mungu alirihidhisha jina lake kama "Yahweh" lenye maana ya, "yupo" au "Mimi ndiye" au "Yeye ambaye (daima) yupo."
  • Biblia ya fundisha kuhusu "miungu" ya uongo ambayo ni sanamu isio ishi watu waabuduo kwa makosa.

wokovu

Neno "wokovu" la husu kuokolewa au kukombolewa kutoka kwenye uovu na hatari.

  • Katika Biblia, "wokovu" wa husu ukombozi wa kiroho na wa milele unao tolewa na Mungu kwao wanao tubu dhambi zao na kumuamini Yesu.
  • Biblia pia ya zungumzia Mungu kuokoa au kukomboa watu kwa adui zao wa mwilini.

jina

Katika Biblia, neno "jina" linatumika kwa mfumbo kadhaa.

  • Baadhi ya Muktadha, "jina" la weza husu sifa ya mtu, kama vile, "acha tujfanyie jina"
  • Neno "jina" la weza pia kuhusu kumbukumbu ya kitu. Kwa mfano, "kata majina ya sanamu" maana yake kuharibu hizo sanamu ili kwamba wasiendelee kukumbukwa au kuabudiwa.

Kuzungumza "katika jina la Mungu" ya maanisha kusema kwa nguvu na mamlaka, au kama mwakilishi wake.

  • "Jina" la mtu la weza husu huyo mtu kwa ujumla, kama "hakuna jina chini ya mbingu ambalo la tupasa kuokolewa."

ufukufu

Kwa ujumla, neno "utukufu" la maanisha heshima, uzuri, na ukubwa wa ajabu. Chochote chenye utukufu cha semekana kuwa na "utukufu"

  • Wakati mwengine "utukufu" ya husu kitu cha dhamani kubwa na umuhimu. Katika muktadha mengine ina eleza uzuri, mwanga, au hukumu.
  • Kwa mfano, msemo "utukufu wa wachungaji" ya husu malisho tele kondoo wao walipo kuwa na nyasi nyingi ya kula.
  • Utukufu wa tumika sana kumueleza Mungu, ambaye ana utukufu kuliko mtu au kitu chochote katika ulimwengu. Kila kitu katika tabia yake ya rihidhisha utukufu na uzuri wake.
  • Msemo "kufurahia utukufu" una maana ya kugamba kuhusu au kujivunia kitu.

sifa

Kumsifu mtu ni kuonyesha matamanio na heshima kwa huyo mtu.

  • Watu wanamsifu Mungu kwasababu kwa jinsi alivyo mkuu na kwasbabu ya matendo makuu aliyo fanya kama Muumbaji na Mwokozi wa ulimwengu.
  • Sifa kwa Mungu muda mwing ya jumuisha kuwa na shukurani kwa aliyo ya fanya.
  • Muziki na kuimba mara nyingi ya tumika kama njia ya kumsifu Mungu.
  • Kumsifu Mungu ni sehemu ya maana ya kumuabudu.
  • Neno "kusifu" la weza tafsiriwa kama, "kumzungumzia vizuri" au "kumheshimu sana kwa maneno" au "kusema mambo mazuri kuhusu"
  • Jina "sifa" la weza tafsiriwa kama, "heshima ya kusema" au "hotuba inayo heshimu" au "kuzungumza mambo mazuri kuhusu"