forked from WA-Catalog/sw_tn
645 B
645 B
Kama yeye
"kama mtu"
atageuzia mbali sikio lake kuisikia sheria
"atageuzia mbali sikio lake kusikia na kutii sheria"
hata maombi yake ni chukizo
"Mungu anachukia hata maombi yake"
chukizo
angalia 3:31
Yeyote mwenye kumpotosha mwenye haki katika njia mbaya
"Yeyote anayesababisha mwenye haki kwenda katika mwelekeo mbaya"
Yeyote mwenye kumpotosha...njia mbaya ataanguka
"kama mtu yeyote atampotosha...njia mbaya ataanguka"
mwenye haki
"watu wanyoofu"
ataanguka kwenye shimo lake mwenyewe
"ataanguka kwenye mtego ambao ameuchimba"
wakamilifu
"watu wakamilifu"
watapata urithi mzuri
"watarithi kitu kizuri"