forked from WA-Catalog/sw_tn
566 B
566 B
Maelezo ya Jumla
Baba anaendelea kuwafundisha watoto wake mambo ambayo yeye alifundishwa na baba yake
Jipatie hekima
"fanya bidii kupata hekima kwa ajili yako mwenyewe" au "pata hekima"
usiyasahau
"yakumbuke"
usiyakatae
"kubali"
maneno ya kinwa changu
"yale ninayonena"
usimwache hekima na naye atakulinda; mpende na yeye atakuweka salama
Mwandishi ananena juu ya hekima kama mwanamke ambaye humlinda mtu ambaye ni mwaminifu.
usimwache hekima
" ishikilie kwa nguvu kabisa hekima"au " uwe mwaminifu kwa hekima"
mpende
" mpende hekima"