forked from WA-Catalog/sw_tn
418 B
418 B
Kwa juhudi zangu nililitesa Kanisa
Nilidhamiria kuwaumiza waumini wa Kikiristo
kwa kuitii haki ya sheria, sikuwa na lawama kisheria
"Nilitii sheria sheria yote kikamilifu"
mambo yote niliyaona kuwa faida kwangu
hapa Paulo anajea kwenye sifa alizozipata kwa kuwa Mfarisayo mwenye shauku.
Nayahesabu yote kama takataka
Paulo anamalizia kwamba matendo yake ya haki katika dini yalikuwa bure mbele Kristo.