sw_tn/gal/04/01.md

347 B

Kauli Unganishi

Paulo anazidi kuwakumbusha wakristo wa Galatia kwamba Kristo alikuja kukomboa wale waliokuwa chini ya sheria, na kuwafanya wasiwe watumwa tena bali wana.

hakuna utofauti

"kuwa sawa na "

waangalizi

Watu wenye wajibu wa kisheria kuangalia watoto

wadhamini

ni watu wanaoaminiwa na wengine kutunza vitu vyenye thamani