sw_tn/gal/04/01.md

16 lines
347 B
Markdown
Raw Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Kauli Unganishi
Paulo anazidi kuwakumbusha wakristo wa Galatia kwamba Kristo alikuja kukomboa wale waliokuwa chini ya sheria, na kuwafanya wasiwe watumwa tena bali wana.
# hakuna utofauti
"kuwa sawa na "
# waangalizi
Watu wenye wajibu wa kisheria kuangalia watoto
# wadhamini
ni watu wanaoaminiwa na wengine kutunza vitu vyenye thamani