forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
347 B
Markdown
16 lines
347 B
Markdown
|
# Kauli Unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anazidi kuwakumbusha wakristo wa Galatia kwamba Kristo alikuja kukomboa wale waliokuwa chini ya sheria, na kuwafanya wasiwe watumwa tena bali wana.
|
||
|
|
||
|
# hakuna utofauti
|
||
|
|
||
|
"kuwa sawa na "
|
||
|
|
||
|
# waangalizi
|
||
|
|
||
|
Watu wenye wajibu wa kisheria kuangalia watoto
|
||
|
|
||
|
# wadhamini
|
||
|
|
||
|
ni watu wanaoaminiwa na wengine kutunza vitu vyenye thamani
|