sw_tn/gal/01/01.md

20 lines
531 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Mtume Paulo, mwandishi wa barua hii kwa makanisa yaliyoko katika maeneo ya Galatia.
# Maelezo ya jumla
Maneno 'ninyi,' 'nanyi' au 'yenu' hurejelea watu wa Galatia katika wingi wao.
# Aliyemfufua yeye
"Aliyemfufua Yesu Kristo"
# Kufufuliwa
Hapa inamaanisha ni kitendo cha kumfanya mtu aliyekuwa amekufa kuwa hai tena.
# Ndugu
Hapa inamaanisha Wakristo, kwa kujumuisha wanaume na wanawake wote, kwa kuwa waumini wote ndani ya Kristo ni washirika wa familia moja, na Mungu ndiye Baba yao wa mbinguni.