forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
531 B
Markdown
20 lines
531 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Mtume Paulo, mwandishi wa barua hii kwa makanisa yaliyoko katika maeneo ya Galatia.
|
|
|
|
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Maneno 'ninyi,' 'nanyi' au 'yenu' hurejelea watu wa Galatia katika wingi wao.
|
|
|
|
# Aliyemfufua yeye
|
|
|
|
"Aliyemfufua Yesu Kristo"
|
|
|
|
# Kufufuliwa
|
|
|
|
Hapa inamaanisha ni kitendo cha kumfanya mtu aliyekuwa amekufa kuwa hai tena.
|
|
|
|
# Ndugu
|
|
|
|
Hapa inamaanisha Wakristo, kwa kujumuisha wanaume na wanawake wote, kwa kuwa waumini wote ndani ya Kristo ni washirika wa familia moja, na Mungu ndiye Baba yao wa mbinguni.
|