forked from WA-Catalog/sw_tn
536 B
536 B
mwanadamu
Tazama tafsiri yake katika 2:1.
weka uso wako dhidi
Tazama tafsiri yake katika 4:1.
binti za watu wako
wanawake wa Israeli
kutabiri dhidi yao
Hii inamaanisha kuunda unabii kutoka kutokana na fikra zao wenyewe.
hirizi
vitu vilivyoaminika vina nguvu za miujiza.
kutengeza vitambaa vya shela kwa ajili ya vichwa vyao kwa kila kipimo, ili kuwinda watu
Mapambo yaliyovaliwa na manabii yalikuwa kama "mtego" kwa sababu walikuwa wakitumia uzuri, fumbo na uongo kutega watu ili wawaamini na kuasi juu ya Mungu.