forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
738 B
Markdown
20 lines
738 B
Markdown
# kauli unganishi
|
|
|
|
Kwasababu ya kile Paulo amekuwa akiwaandikia Waefeso, anawatia moyo namna gani kuishi maisha yao kama waamini na tena anasisitiza umoja wa waamini.
|
|
|
|
# Kama mfungwa kwa ajili ya Bwana
|
|
|
|
"kama mtu ambaye yuko gerezani kwa sababu ya uchaguzi wake wa kumtumikia Bwana"
|
|
|
|
# Nawasihi ninyi kuishi maisha yanayoendana na wito
|
|
|
|
Neno "ninyi" linamaanisha Waefeso waamini. AT: "Nawatia moyo ninyi kujitunza wenyewe kwa namna nzuri ya wito."
|
|
|
|
# Kwa unyenyekevu mkubwa na upole na uvumilivu, mkichukuliana kila mmoja katika upendo
|
|
|
|
"jifunzeni kuwa wanyenyekevu, wapole, waumilivu na kuchukuliana kila mmoja katika upendo"
|
|
|
|
# Tunzeni umoja wa Roho katika kifungo cha amani
|
|
|
|
"tafuteni kuishi pamoja kwa amani kuuhifadhi umoja wa Roho"
|