sw_tn/eph/03/intro.md

574 B

Waefeso 03 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

"Naomba"

Paulo amepanga sehemu ya sura hii kama sala kwa Mungu. Lakini Paulo hazunguzi na Mungu pekee. Anaombea na kufundisha kanisa huko Efeso.

Dhana maalum katika sura hii

Siri

Paulo anaashiria kanisa kama "siri". Jukumu la kanisa katika mipango ya Mungu wakati mmoja halikujulikana. Lakini Mungu amelifunua sasa. Sehemu ya siri hii inahusisha Wayunani kuwa sawa na Wayahudi katika mipango ya Mungu.

<< | >>