forked from WA-Catalog/sw_tn
574 B
574 B
Waefeso 03 Maelezo ya Jumla
Muundo na upangiliaji
"Naomba"
Paulo amepanga sehemu ya sura hii kama sala kwa Mungu. Lakini Paulo hazunguzi na Mungu pekee. Anaombea na kufundisha kanisa huko Efeso.
Dhana maalum katika sura hii
Siri
Paulo anaashiria kanisa kama "siri". Jukumu la kanisa katika mipango ya Mungu wakati mmoja halikujulikana. Lakini Mungu amelifunua sasa. Sehemu ya siri hii inahusisha Wayunani kuwa sawa na Wayahudi katika mipango ya Mungu.