forked from WA-Catalog/sw_tn
14 lines
715 B
Markdown
14 lines
715 B
Markdown
# Matendo 18 Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
## Dhana maalum katika sura hii
|
|
|
|
### Ubatizo wa Yohana
|
|
|
|
Wayahudi wengine walioishi mbali kutoka Yerusalemu na Judea walisikia kumhusu Yohane Mbatizaji na wakafuata mafundisho yake. Walikuwa bado kusikia habari za Yesu. Mmoja wa hao aliitwa Apollo. Alimfuata Yohane Mbatizaji lakini hakufahamu kwamba Maasiya alikuwa aliisha kuja. Yohane aliwabatiza watu kuonyesha ya kwamba walitubu dhambi zao na lakini ubatizo huu ulikuwa tofauti na ubatizo wa Kikristo. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faithful]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/christ]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/repent]])
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[Acts 18:1](../../act/18/01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../17/intro.md) | [>>](../19/intro.md)__
|