forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
377 B
Markdown
20 lines
377 B
Markdown
# Je amekuwa nawe Amnoni nduguyo?
|
|
|
|
Hii ni njia laini ya kuuliza je Amnoni amekuwa na uhusiano wa tendo la ndoa nawe.
|
|
|
|
# Nyamaza
|
|
|
|
Hii inamaanisha kutomwambia mtu juu ya jambo fulani.
|
|
|
|
# Usiliweke jambo hili moyoni
|
|
|
|
Kifungu "kuweka jambo moyoni" inamaanisha "kuhofu juu yake."
|
|
|
|
# Hivyo Tamari akabaki peke yake
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba hakuolewa.
|
|
|
|
# hakusema lolote
|
|
|
|
"alinyamaza"
|