forked from WA-Catalog/sw_tn
377 B
377 B
Je amekuwa nawe Amnoni nduguyo?
Hii ni njia laini ya kuuliza je Amnoni amekuwa na uhusiano wa tendo la ndoa nawe.
Nyamaza
Hii inamaanisha kutomwambia mtu juu ya jambo fulani.
Usiliweke jambo hili moyoni
Kifungu "kuweka jambo moyoni" inamaanisha "kuhofu juu yake."
Hivyo Tamari akabaki peke yake
Hii inamaanisha kwamba hakuolewa.
hakusema lolote
"alinyamaza"