sw_tn/1co/15/01.md

16 lines
449 B
Markdown

# Sentensi Unganishi
Paulo anawakumbusha kuwa ni Injili inayowaokoa na tena anawaeleza Injili ni kitu gani. Kisha anatoa somo fupi la historia kuelezea yatakayotokea hapo baadaye.
# Ninawakumbusha
"kuwasaidia ninyi kukumbuka"
# kusimama kwayo
Paulo anazungumzia habari ya Wakorintho akiwafananisha na nyumba, na Injili anaifananisha na msingi unaobeba hiyo nyumba
# mmeokolewa
Hii inaweza kuelezewa katika muundo tendaji "Mungu atawaokoa"