sw_tn/gen/35/26.md

704 B

Zilpa

Hili ni jina la mtumishi wa kike wa Lea.

waliozaliwa kwake huko Padani Aramu

Inasemekana ya kwamba hii haimjumlishi Benyamini aliyezaliwa katika nchi ya Kaanani karibu na Bethelehemu. Inataja Padani Aramu tu kwa maana hapo ndipo wengi wao walizaliwa. Maana kamili ya hii inaweza kuwekwa wazi. "ambao walizaliwa kwake Padani Aramu, isipokuwa Benyamini ambaye alizaliwa katika nchi ya Kaanani"

Yakobo akaja kwa Isaka

Hapa "akaja" inaweza kuweka kama "akaondoka"

Mamre

Hili lilikuwa jina lingine la mji wa Hebroni. Inawezekana iliitwa baada ya Mamre, rafiki yake Abrahamu aliyeishi pale. Hii ilikuwa jina la mwanamume aliyemiliki miti ya mwaloni.

Kiriathi Arba

Hili ni jina la mji.