sw_tn/gen/35/26.md

20 lines
704 B
Markdown

# Zilpa
Hili ni jina la mtumishi wa kike wa Lea.
# waliozaliwa kwake huko Padani Aramu
Inasemekana ya kwamba hii haimjumlishi Benyamini aliyezaliwa katika nchi ya Kaanani karibu na Bethelehemu. Inataja Padani Aramu tu kwa maana hapo ndipo wengi wao walizaliwa. Maana kamili ya hii inaweza kuwekwa wazi. "ambao walizaliwa kwake Padani Aramu, isipokuwa Benyamini ambaye alizaliwa katika nchi ya Kaanani"
# Yakobo akaja kwa Isaka
Hapa "akaja" inaweza kuweka kama "akaondoka"
# Mamre
Hili lilikuwa jina lingine la mji wa Hebroni. Inawezekana iliitwa baada ya Mamre, rafiki yake Abrahamu aliyeishi pale. Hii ilikuwa jina la mwanamume aliyemiliki miti ya mwaloni.
# Kiriathi Arba
Hili ni jina la mji.