sw_tn/1ch/05/20.md

344 B

Waisraeli walipaza sauti kwa Mungu

"Waisraeli walimuomba Mungu kwa sauti kwa ajili ya Msaada"

Walikamata

"Waisraeli walikamata Wahagri"

ngamia elfu hamsini

"ngamia 50,000"

punda elfu mbili

"punda 2,000"

Kwa sababu Mungu aliwapigania

Msaada wa Mungu waelezwa kama mwanajeshi aliye pigana vitani. "Kwasababu Mungu aliwasaidia"