sw_tn/1ch/03/17.md

373 B

Yehoyakini

Baadhi ya tafsiri zina "Yekonia," ambayo ni mbadala wa "Yehoyakini."

watekwa

Hii inaweza kuwa cheo kilichopewa Yehoyakini kwasababu alichukuliwa matekani. Ingawa, baadhi ya tafsiri za eleza hilo neno kama "Asiri," jina la mmoja wa wanae.

YehoYakini ... Shealtieli, Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia

Haya ni majina ya wanaume.