sw_tn/1ch/02/03.md

328 B

Yahweh

Hili ni jina la Mungu alilo lirihidhisha kwa watu wake wa Agano la Kale.

alimzalia Peresi na Zera

"aliza wana wake Perezi na Zera"

wana wa tano

"wana wa 5"

macho ya Yahweh

"kwa mujibu wa Yahweh|"

Yahweh akamwua

Hii inamaanisha Yahweh aliruhusu Eri auliwe.

mkwe wake

Hii ina maana ya mke wa mwanae.